Habari kumhusu Lucy kwa magazeti na runinga
Kwa maadhimisho ya miaka 10 ya Crescenda niliruhusiwa
kuwa kama MC katika kanisa la Pauluskirche Basel.
Niliwakaribisha Wanabunge wa wakati huo kama
Simonetta Sommaruga na
Rais wa Serikali ya Basel Guy Morin.
>> Maelezo zaidi kuhusu Crescenda!
Mai 2014
Afrika katika Riehen
Maelezo kumhusu Lucy Oyubo akifanya somo la jaribio la Kiswahili huko Riehen.
Afrika katika Riehen
Maelezo kumhusu Lucy Oyubo akifanya somo la jaribio la Kiswahili huko Riehen.
| |||||||
|
Mahojiano ya Lucy Oyubo
kwa Women in Business Series Podcast ya PWG-Basel (Kikundi cha Professional Women Basel) >>Mahojiano katika Soundcloud |